Friday, August 17, 2012

FACE BOOK IMENIDHALILISHA-Shamsa



“Sikuwa mfahamu sana katika suala zima la Facebook, licha ya kwamba nilikuwa nikiwaona Rafiki zangu wengi sana wakiitumia, huku baadhi yao Wakiisifia. Obviously, nilipata hamu kubwa sana ya kutaka kufahamu kilichokuwa kikiendelea ndani ya Mtandao huo. If am not mistaken, it was 2010 ndo nilianza kusikia habari hizo za Facebook. By that time nilikuwa nachukua Diploma in AIR TICKETING katika chuo kimoja hivi hapa Jijini Dar es Salaam........................(CLICK ON LOVE STORY TO READ MORE)

No comments:

Post a Comment