FACE BOOK IMENIDHALILISHA-Shamsa
“Sikuwa
mfahamu sana katika suala zima la Facebook, licha ya kwamba nilikuwa nikiwaona
Rafiki zangu wengi sana wakiitumia, huku baadhi yao Wakiisifia. Obviously,
nilipata hamu kubwa sana ya kutaka kufahamu kilichokuwa kikiendelea ndani ya
Mtandao huo. If am not mistaken, it was 2010 ndo nilianza kusikia habari hizo
za Facebook. By that time nilikuwa nachukua Diploma in AIR TICKETING katika
chuo kimoja hivi hapa Jijini Dar es Salaam........................(CLICK ON LOVE STORY TO READ MORE)
No comments:
Post a Comment