SIMULIZI YA KWELI YA SHAMSA-SEHEMU YA PILI
FACEBOOK IMENIDHARIRISHA -Shamsa (02)
Baada ya kuchat muda Mrefu sana, nilijikuta mimi mwenyewe
nikitoa namba yangu kwa Naseeb ili tuweze kuwasiliana even kwenye Simu.
Nilipomaliza shughuli hiyo, nilianza safari ya kurudi Nyumbani. Nilipokuwa
njiani, Hammy alinipigia simu lakini sikupokea (BOFYA "LOVE STORY")
No comments:
Post a Comment